Wednesday, December 2, 2015
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
Wednesday, December 02, 2015










Mgeni Rasmi Bi Paulina Mkonongo Mkurugenzi wa Elimu Sekondari akipitia machapisho mbalimbali wakati wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
Sunday, November 22, 2015
Tuesday, October 13, 2015
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Tuesday, October 13, 2015









Thursday, September 24, 2015
Tuesday, September 15, 2015
UTT AMIS YAPATA TUZO YA UENDESHAJI BORA WA MIFUKO MWAKA 2015 KUTOKA KWA CAPITAL FINANCE INTERNATIONAL
Tuesday, September 15, 2015





Saturday, September 5, 2015
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENTIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF
Saturday, September 05, 2015
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo
Mwenyelkiti
wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa Mfuko wa
Fidia kwa Wafanyakazi Kutoka kwa Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka
(Cheti cha Usajili kimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya
Hifadhi ya Jamii Nchini SSRA)
Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Humba, (katikati), akitoa hotuba yake. Kulia ni Waziri Kabaka na kushoto ni Mkurugeniz Mkuu, WCF, Masha Mshomba
Mgeni rasmi, Waziri Kabaka, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo, baada ya uzinduzi rasmi wa bodi
Waziri
wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka akitoa hotuba kwa Wajumbe wa Bodi ya
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) pamoja na wageni waalikwa kabla ya
kuzindua Bodi hiyo Rasmi.
Tuesday, August 4, 2015
Mh Anne Makinda ashiriki Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na WiLDAF jijini Dar es salaam
Tuesday, August 04, 2015
Maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 31 July toka tamko rasmi la Umoja wa Afrika mnamo mwaka 1962 lililotolewa jijini Dar es Salaam -Tanzania.
WiLDAF Tanzania imekuwa ikiratibu maadhimisho haya hapa nchini ikiwa pia ni siku maalumu ya kusherehekea mafanikio ya wanawake wa Afrika. Katika maadhimisho hayo WiLDAF ilizindua ripoti ya kwanza ya hali za haki za Wanawake nchini Tanzania ya mwaka 2014 iliyozinduliwa na Mh. Anne Makinda, (SPIKA wa Bunge).
Maadhimisho haya yalifanyika siku ya ijumaa tarehe 31 July 2015 katika ukumbi wa Hyatt Regency Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Mh. Anne makinda akiwasili ukumbini pamoja na mwenyekiti Mh Naomi Kaihula na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya WiLDAF Edda Mariki, na mkurugenzi mtendanji wa WiLDAF Dkt Judith Odunga .
Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt. Judith Odunga akimshukuru Mgeni rasmi Mh. Anne Makinda katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika.
Mgeni rasmi Mh. Anne Makinda akizindua ripoti ya hali za hali za wanawake nchini Tanzania ya mwaka 2014 iliyoandaliwa na WiLDAF
Mgeni rasmi Mh Anne Makinda akihutubia katika maadhimisho ya siku ya Wanawake wa Afrika iliyoandaliwa na WiLDAF
Washiriki kutoka mashirika mbalimbali wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika iliyoandaliwa na WiLDAF
Mama Laeticia Mkurasi akihamasisha wanawake kutitokeza katika uchanguzi mkuu, katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF
Mwadhiri kutoka katika chuo kikuu cha Bagamoyo Natujwa Mvungi, akichangia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF
Mkurugenzi wa shirika la makazi la WAT-HST Judith Sando akifuatilia ripoti ya hali za haki za Wanawake iliyoandaliwa na WiLDAF
Mh Anne Makinda katika maadhimisho ya siku ya wanawake wa Afrika iliyoandaliwa na WiLDAF
Wafanyakazi wa WiLDAF Jacqueline na Alicko wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF
Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt Judith Odunga na Mgeni rasmi Mh Anne makinda wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Africa yaliyoandaliwa na WiLDAF
Washiriki toka mashirika mbalimbali katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF
Mh Anne Makinda na Mwenyekiti wa bodi ya WiLDAF katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika
Baadhi ya wafanyakazi wa WiLDAF katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika.
Subscribe to:
Posts (Atom)