Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Changanua Blog.

Have you got a good story?

Share your story, discuss the issues with Changanua Blog.

Nafasi Ya Matangazo

Sunday, November 22, 2015

Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PSPF yawapongeza Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Tuesday, October 13, 2015

Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam

Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt. Judith Odunga akitoa neno la ufungunzi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani

Naibu Mkurugenzi wa WiLDAF Ndugu Anna Kulaya akielezea tafiti mbalimbali zinazoonyesha hali ya ukatili wa kjinsia wanaokutana nao watoto wa kike

Mkurugenzi wa Bodi ya WiLDAF ndugu Edda Mariki akitoa neno la shukrani kwa wanafunzi walioshiriki katika siku ya mtoto wa kike duniani

Mwanafunzi kutoka shule ya Secondari Tandika akielezea ukatili wa kijinsia anaokutana katika mazingira mbalimbali.

Mwanafunzi kutoka katika shule ya jangwani akielezea ukatili anaokutana nao kama mtoto wa kike

Mwanafunzi akichangia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Mwanafunzi akichangia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Wanafunzi wakifuatilia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Washiriki kutoka katika timu za ulinzi wa mtoto na mashirika yasiyo yakiserikali wakifuatilia shuhuda mbalimbali wanazokutana nazo wanafunzi wakati wa maadhimisho ya mtoto wa kike duniani

Washiriki kutoka katika timu za ulinzi wa mtoto na mashirika yasiyo yakiserikali wakifuatilia shuhuda mbalimbali wanazokutana nazo wanafunzi wakati wa maadhimisho ya mtoto wa kike duniani


Thursday, September 24, 2015

DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA

Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana saccos wa kata ya Msigani

Sehemu ya akina mama wa Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara

Dkt Fenela Mukangara akiagana na akina mama wa kata ya Msigani Kibamba baada ya kuisha mkutano huo.


Tuesday, September 15, 2015

UTT AMIS YAPATA TUZO YA UENDESHAJI BORA WA MIFUKO MWAKA 2015 KUTOKA KWA CAPITAL FINANCE INTERNATIONAL

Tuzo ya usimamizi bora wa mifuko iliyopata UTT AMIS kutoka CFI

Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola akiongea na waandishi wa habari(pichani hawapo) kuhusiana na miaka 10 ya Umfuko wa Umoja na Tuzo ya Usimamizi bora wa Mifuko waliyopata kutoka CFI

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Bw. Daudi Mbaga akijibu moja ya maswali kutoka kwa waandishi wa habari. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola.

Mkurugenizi wa Uwekezaji wa UTT AMIS Ms. Pamela Nchimbi akiwaelezea waandishi wa habari ufanisi wa Mfuko wa Umoja kwa kipindi cha Miaka 10 waandishi wa habari. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola.

Mkurugenzi Mtendaji wa CFI, Antony Michael akitoa maelezo ya awali kwa waandishi wa habari kabla ya utoaji wa tuzo.

Mwenyekiti wa Bodi ya UTT AMIS Profesa Joseph Kuzilwa akifurahi baada ya kuzindua wovuti ya UTTAMIS. Tukio hili pia lilishuhudiwa na waandishi wa habari, bodi ya wakurungezi,menejimenti na wafanyakazi wa UTTAMIS. Pata fursa za uwekezaji sasa www.utt-tz.org


Saturday, September 5, 2015

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENTIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF

 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake,   Bw. Emmanuel Humba

 Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo

 Mwenyelkiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi Kutoka kwa Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka (Cheti cha Usajili kimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini SSRA)
 Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Humba, (katikati), akitoa hotuba yake. Kulia ni Waziri Kabaka na kushoto ni Mkurugeniz Mkuu, WCF, Masha Mshomba
 Mgeni rasmi, Waziri Kabaka, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo, baada ya uzinduzi rasmi wa bodi
 Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka akitoa hotuba kwa Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) pamoja na wageni waalikwa kabla ya kuzindua Bodi hiyo Rasmi.




Tuesday, August 4, 2015

Mh Anne Makinda ashiriki Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na WiLDAF jijini Dar es salaam

Maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 31 July toka tamko rasmi la Umoja wa Afrika mnamo mwaka 1962 lililotolewa jijini Dar es Salaam -Tanzania.

WiLDAF Tanzania imekuwa ikiratibu maadhimisho haya hapa nchini ikiwa pia ni siku maalumu ya kusherehekea mafanikio ya wanawake wa Afrika. Katika maadhimisho hayo WiLDAF ilizindua ripoti ya kwanza ya hali za haki za Wanawake nchini Tanzania ya mwaka 2014 iliyozinduliwa na Mh. Anne Makinda, (SPIKA wa Bunge).

Maadhimisho haya yalifanyika siku ya ijumaa tarehe 31 July 2015 katika ukumbi wa Hyatt Regency Dar es Salaam.

Mgeni rasmi Mh. Anne makinda akiwasili ukumbini pamoja na mwenyekiti Mh Naomi Kaihula na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya WiLDAF Edda Mariki, na mkurugenzi ‎mtendanji wa WiLDAF Dkt Judith Odunga .

Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt. Judith Odunga akimshukuru Mgeni rasmi Mh. Anne Makinda katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika.

Mgeni rasmi Mh. Anne Makinda akizindua ripoti ya hali za hali za wanawake nchini Tanzania ya mwaka 2014 iliyoandaliwa na WiLDAF

Mgeni rasmi Mh Anne Makinda akihutubia katika maadhimisho ya siku ya Wanawake wa Afrika iliyoandaliwa na WiLDAF

Washiriki kutoka mashirika mbalimbali wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika iliyoandaliwa na WiLDAF

Mama Laeticia Mkurasi akihamasisha wanawake kutitokeza katika uchanguzi mkuu, katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF

Mwadhiri kutoka katika chuo kikuu cha Bagamoyo Natujwa Mvungi, akichangia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF

Mkurugenzi wa shirika la makazi la WAT-HST Judith Sando akifuatilia ripoti ya hali za haki za Wanawake iliyoandaliwa na WiLDAF

Mh Anne Makinda katika maadhimisho ya siku ya wanawake wa Afrika iliyoandaliwa na WiLDAF

Wafanyakazi wa WiLDAF Jacqueline na Alicko wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF

Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt Judith Odunga na Mgeni rasmi Mh Anne makinda wakifuatilia mada katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Africa yaliyoandaliwa na WiLDAF

Washiriki toka mashirika mbalimbali katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa afrika yaliyoandaliwa na WiLDAF

Mh Anne Makinda na Mwenyekiti wa bodi ya WiLDAF katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika

Baadhi ya wafanyakazi wa WiLDAF katika maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika.


Thursday, June 18, 2015

JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI KINAVYO ONDOLEWA KWA TIBA ASILIA.



Kitambi ni ile hali ya tumbo kuwa kubwa na kuchomoza kwa mbele na wakati mwingine kufikia hatua ya kunin’ginia.

JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.
Kwa wanawake seli hizo zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye nyonga, kiunoni na kwenye makalio.

Kwa upande wa wanaume seli hizo zinapatikana sana kwenye kifua, tumboni na kwenye makalio pia.
Mafuta ya tumbo yanayofanya kitambi hukusanywa kwa njia kuu mbili:
i. Njia ya kwanza ni mafuta kutoka kwenye tishu zilizo chini ya ngozi
ii. Na njia ya pili ni kutoka kwenye ogani za ndani kama moyo, kongosho n.k

SABABU ZA KUPATA KITAMBI
Sababu kubwa ya kitambi ni kukosekana ulingano wa nguvu(kalori) katika mwili wa mwanadamu, hali inayo sababishwa na mtu kula vyakula vinavyotia nguvu sana kuliko jinsi anavyoweza kutumia na kutoa kama taka mwili.

VYAKULA VINAVYO CHANGIA KULETA KITAMBI
Vyakula vinavyochangia kuleta kitambi ni pamoja na :
i. Vyakula vyenye mafuta mengi kama vile nyama nyekundu (iwe ni ya kuchemsha, kukaanga au kuchoma), nyama ya kuku wa kizungu ( iwe ya kuchemsha, kukaanga ama kuchoma ), mafuta ya kupikia, (hasa yale yatokanayo na bidhaa za wanyama, kama siagi, na jibini), viazi ya kukaanga kwa mafuta (chips) pamoja na pizza.
ii. Vyakula vyenye wanga mwingi kama vile ugali wa mahindi, mihogo, wali, mkate mweupe.
iii. Vyakula na vinywaji vyenye sukari nyingi iliyo ongezwa ( added sugar ), kama vile soda na keki.
iv. Vyakula vilivyo tengenezwa kwa ngano na sukari kama vile keki, skonzi, chapatti, maandazi, mkate mweupe nakadhalika
v. Pamoja na vinywaji vilivyo tengenezwa kwa kutumia ngano kama vile bia za aina mbalimbali na kadhalika.
Vyakula vilivyo tajwa hapo juu, vikitumiwa bila kuzingatia kanuni za mlo kamili, huchangia kuleta tatizo la kitambi. vi. Sababu nyingine ni kutofanya mazoezi ya mwili na viungo ( physical exercises ) kwa muda mrefu.

JINSI YA KUJUA KAMA UNA KITAMBI
Kitambi kinaweza kuonekana kirahisi kwa macho. Ila kujua ni kwa kiwango gani kitambi chako kipo inabidi kufanya vipimo vya kiuno(waist) na nyonga (hips).

Mzingo wa kiuno ukiwa >102 cm au 40 kwa wanaume na >88 cm au 35 kwa wanawake, na uwiano wa kiuno na hips(Waist-Hip Ratio) ikiwa >0.9 kwa wanaume na >0.85 kwa wanawake. BMI ya 30 au zaidi inaashiria 'Obese' uzito kuzidi kiasi. Kuwa na mzingo uliozidi kawaida ni kiashiria hatari cha matatizo ya kimetaboliki, kuliko hata cha BMI.

Kipimo kingine cha kitambi ambacho kimeonyesha uwezo zaidi kuliko BMI katika kutabiri uwezekano mkubwa wa magonjwa ya moyo ni Index Of Central Obesity(Waist-To-Height Ratio-WHtR) ambapo uwiano ukiwa sawa na 0.5 au zaidi, hii ikimaanisha mzingo wa kiuno angalau ni nusu ya kimo cha mtu. Kipimo kingine ni Body Volume Index, kinachopima kitambi kwa kupima umbo la mtu na mgawanyo wa uzito wake.

MAMBO YANAYO MUWEKA MTU KATIKA HATARI YA KUPATWA NA KITAMBI
Tumekwisha ona hapo juu jinsi kitambi kinavyo patikana na vyakula pamoja na sababu nyinginezo zinazo sababisha kutokea kwa kitambi, sasa tutazame mambo yatakayo kufanya uwe katika hatari ya kupatwa na kitambi.

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mambo yafuatayo huwaweka watu katika hatari kubwa ya kupatwa na kitambi :
1. Ulaji mbovu wa chakula; Ulaji mbovu wa chakula ni ulaji usio zingatia kanuni za mlo kamili. Hapa mtu hufululiza kutumia chakula cha aina fulani pekee bila kuzingatia aina nyinginezo za chakula. Mfano; mtu anaweza kuwa anakula mlo ufuatao : Asubuhi : Mchemsho ama supu ya ng’ombe , chapatti tatu na soda moja. Mchana : Ugali nyama choma anashushia kwa maji na soda. Jioni : Mchemsho wa kuku na bia mbili nakuendelea. Usiku : Chips mayai au chips kuku au chips mishikaki na bia. Mtu huyu akiendelea na utaratibu huu kwa muda mrefu, ni lazima atapatwa na kitambi.
2. Ulaji mfululizo wa vyakula vyenye mafuta mengi
3. Ulaji mfululizo wa vyakula vyenye wanga mwingi .
4. Ulaji mfululizo wa vyakula vyenye sukari iliyo ongezwa ( added sugar ).
5. Ulaji mfululizo wa vyakula vya ngano.
6. Ulaji mfululizo wa vinywaji vyenye ngano na sukari.
7. Kutofanya mazoezi ya mwili na viungo ( physical exercises ).

Mhusika anapokuwa katika makundi yote yali yotajwa hapo juu, hali huwa mbaya zaidi.

NJIA ZA KUONDOA KITAMBI Kuwa na kitambi ni lugha ya mwili ( body-language ) inayo leta ujumbe kwako kwamba “ Mwili wako haupo salama tena “
Kama una kitambi maana yake una mafuta yasiyo hitajika mwilini, mwili wako unatumika kuhifadhi mafuta usiyo yahitaji.

Hali hii kitabibu imaanisha kwamba, ogani nyinginezo zilizomo ndani ya mwili wako zinao gelea kwenye mafuta( fats ) yasihotika yaliyomo ndani ya mwili wako, jambo linalo kuweka katika hatari kubwa sana ya kushambuliwa na magonjwa hatari kama vile shinikizo kubwa la damu, kiharusi na kisukari na kwa kutaja machache.
Hivyo basi ili kuondokana na hatari hiyo, yakupasa kupambana kuondoa hayo mafuta yasiyo hitajika mwilini mwako.

NJIA ZA KUONDOA KITAMBI.
Unaweza kuondokana na kitambi kwa kufanya diet pamoja na mazoezi ya mwili na viungo.
Vilevile unaweza kuondoa kitambi na kupunguza mafuta mwilini kwa kutumia dawa asilia ya kuondoa kitambi na kuondoa mafuta yasiyo hitajika mwilini.
DAWA ASILIA YA KUONDOA KIAMBI NA MAFUTA MWILINI.
Hii ni njia ya uhakika kabisa ya kuondoa tatizo la kitambi pamoja na mafuta yasiyo hitajika mwilini. Unaweza kuondoa tatizo la kitambi pamoja na kupunguza mafuta mwilini kwa kutumia DAWA ASILIA IITWAYO YA MKATAA KITAMBI. Dawa hii ni ya asili kabisa “ Pure Herbal “, ambayo haijachanganywa na kemikali yoyote, haina side effect kwa mtumiaji na inaondoa kabisa tatizo la kitambi ndani ya siku kumi na nne.

JINSI DAWA YA MKATAA KITAMBI INAVYO FANYA KAZI.
1. Huyeyusha mafuta yasiyo hitajika mwilini.
2. Husaidia kupunguza hamu ya chakula.
3. Inazuia kutengenezwa kwa seli za mafuta ( fat cells ) katika mwili wa mwanadamu. Unapokula chakula chenye mafuta mengi, dawa hii asilia hupambana kuyafanya mafuta hayo yasitengeneze seli za mafuta mwilini mwako. Hali hii huuepusha mwili wako kuhifadhi mafuta yasiyo hitajika mwilini.
4. Husaidia kupunguza uzito wa mwili kwa haraka sana endapo itatumika pamoja na diet ya kabechi.

UFANISI WA DAWA.
Ufanisi wa dawa hii ni wa asilimia mia moja. Dozi ya dawa hii hutumika kwa muda wa siki ishirini na moja.

MATOKEO YA DAWA:Dawa hii huondoa kabisa kitambi ndani ya siku kumi na nne.

BEI YA DAWA : Dawa hii inaoatikana kwa kiasi cha SHILINGI ELFU HAMSINI TU (Tshs. 50,000/=)

MAHALI TUNAPO PATIKANA.
Tunapatikana jijini DAR ES SALAAM, katika eneo la TABATA -MAKOKA karibu na SHULE YA SEKONDARI YA MT.ANNUARITE.

KWA WATEJA WASIO WEZA KUFIKA OFISINI KWETU.
Kwa wateja wasio weza kufika ofisini kwetu Tabata, tunao utaratibu wa kuwafikishia dawa mahali popote walipo ndani ya jiji la Dar Es salaam.

KWA WATEJA WA NJE YA DAR ES SALAAM.

Kwa wateja waliopo nje ya Dar Es salaam, tunawatumia dawa kwa njia ya MABASI.
Kwa wateja wa ZANZIBAR tunawatumia dawa kwa njia ya boti.

KWA WATEJA WA NJE YA NCHI:
Kwa wateja wa nje ya nchi, tunatumia dawa kwa njia ya POSTA au DHL.
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA : 0766 53 83 84
TUTEMBELEE: www.neemaherbalist.blogspit.com


Thursday, June 11, 2015



Friday, May 29, 2015

IN LOVING MEMORY of Mzee Felician Makwaia

In Loving Memory of Mzee Felician Makwaia 1944 - 2013

Beloved Dad!
It has been two years now
since you responded to your Almighty’s call,
If we only knew it would be the last time
that we see you walk out the door,
We would give you a hug and kisses,
and call you back for one more.

A million times we needed you,
A million times we cried,
If love alone would have saved you,
You would have never died.

In life we loved you dearly,
In death we love you still,
In our hearts you will forever hold a place,
No one can ever fill.

A light from our household is gone,
A voice from our love is stilled,
A place in our vacant home,
Which never can be filled.

Some may think you are forgotten,
Though on earth you are no more,
But in our memory you are with us,
As you always were before.

It broke our hearts to lose you,
But you did not go alone,
A part of us went with you,
The day God called you home.

Your precious memories are for keepsakes,
with which we never part,
God has you safely in his keeping,
But we have you in our hearts and your Legacy will forever live on!

Deeply missed by your Loving Wife Mama Makwaia, your Children Stella, Frank, Robert and Christopher, In-laws, Grand-children, Neighbours, Friends and Relatives.

May you Rest in Peace Dad! Amen.


Tuesday, May 26, 2015

Become a Graphic Designer



Friday, March 6, 2015

Viwanja vinauzwa



Monday, February 23, 2015



Saturday, February 21, 2015

RAIDA SCHOOL OF JOURNALISM AND MEDIA STUDIES


Main Campus

Journalism and Media at Raida allows students to study Journalism and Media with a specific focus, which is a dynamically developing sector. The programme integrates the development of relevant workplace skills with advanced academic study.