Habari zilizotufikia hivi punde zinasema, mwanamuziki muimbaji wa siku nyingi Mzee Muhidin Maalim Gurumo hatunae tena.
Mzee Gurumo amefariki alasiri hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Mungu ailaze roho yake mahali Pema Peponi..Amin




Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment